- admin
- 2 Comments on Tete foundation kwa kushirikiana na reliance insurance tanzania wa andaa bonanza la “Tunaamini katika wewe Bonanza” ambalo limefanyika katika kata ya Miono, Chalinze- Pwani
Tete foundation kwa kushirikiana na reliance insurance tanzania wa andaa bonanza la “Tunaamini katika wewe Bonanza” ambalo limefanyika katika kata ya Miono, Chalinze- Pwani
TETE FOUNDATION kupitia mradi wake wa “Tunaamini katika wewe” ambao umekuwa ukifadhiliwa na Kampuni ya Bima ya Reliance Insurance Tanzania, ambao ni mradi wa ugawaji wa mahitaji ya shule kwa watoto wanaishi mazingira magumu, walemavu, na wahitaji Kwa takribani
